Monday, January 9, 2017

2017 MWAKA WA KUTHIBITIKA - 9

SIKU YA 09 - 09/01/2017

Zaburi 40:2 Akanipandisha toka shimo la uharibifu, Toka udongo wa utelezi; Akaisimamisha miguu yangu mwambani, Akaziimarisha hatua zangu.

KUWA ESTABLISHED/KUIMARISHWA/KUTHIBITIKA

SIKU YA 9… Danieli 11:14 Na zamani zile watu wengi watasimama ili kumpinga mfalme wa kusini; pia, wenye jeuri miongoni mwa watu wako watajiinua ili kuyathibitisha maono; lakini wataanguka.

MAONO YANAWEZA KUWA ESTABLISHED.. KAMA NI YA MUNGU HAITAANGUKA.. WALA SISI TUNAOTHIBITISHA TUTANG’AA NA KUWA WAKUU.. Danieli 11:32 … lakini watu wamjuao Mungu wao watakuwa hodari, na kutenda mambo makuu.

MUNGU ATA-ESTABLISH MAONO YETU…

Endelea kujiombea………………na kuombea wengine…….HASA WALE AMBAO UNAWAFAHAMU WANAHITAJI NEEMA YA KRISTO

Apostle Shemeji Melayeki

GLOBAL FAMILY GATHERINGS MINISTRIES

PHONE: +255 714 548 565

We are the Standards! 2017

No comments:

Post a Comment