Saturday, November 22, 2014

George (bonge) wa Kwaya ya Lulu Mtoni afariki dunia

Mwimbaji wa nyimbo za Injili George au bonge wa Kwaya ya Lulu Mtoni amefariki dunia Jana katika hospital ya Muhimbili

Mipango ya mazishi inafayikia nyumbani kwake Tabata Bima

Kesho mwili wa marehemu utasafirishwa kesho kwenda nyumbani kwao Tukuyu, Mbeya

Wakati wa uhai wake alitumia maisha yake kumtukuza na kumuhubiri Yesu kwa njia ya uimbaji

Mojawapo ya nyimbo alizoimba ni "around the corner" na "lulu"

George aliwashangaza wengi pamoja na kuwa na mwili mkubwa alikuwa mwepesi kumwimbia Yesu akiruka ruka kwa Furaha

Kwa maelezo zaidi jinsi ya kufika nyumbani kwa marehemu piga namba ya mwenyekiti 0754 464102

Rejoice and Rejoice imawapa pole wote waliofikwa na msiba huh

Tutengeneze na Mungu maana hatujui siku wala Saa, Amen

Tuesday, November 18, 2014

Myles Munroe's Children Weep as Thousands Show Up for First Sunday Service Since Crash; Church Recalls Last Sermon


Myles Munroe and his wife, Ruth, (inset), and Myles Munroe Jr. and his sister, Charissa, (R).
Although prominent evangelical pastor Myles Munroe told the world that he had prepared his children to live without him should he die, his daughter, Charissa, and son, Myles Munroe Jr., couldn't hold back their tears as they faced his former congregation for the first Sunday since his untimely death with their mother, Ruth, and seven others in a fiery jet crash two Sundays ago.

Kevin Harris, spokesperson for the Bahamas Faith Ministries, which the renowned evangelical pastor and motivational speaker led before his death, told The Christian Post in an interview Monday that attendance at the church exploded Sunday with supporters who had been rocked by the tragedy.

"We had an overflow. We had to bring in [a] tremendous amount of seating. Thousands of people turned up," said Harris.

One 20-year member of Munroe's church, who asked not to be identified, told CP that the mood inside the church Sunday was "somber."

"It was a sad mood," explained the member. "Everybody was saddened by what happened. There was tears and everything."

A video posted to Facebook from the service shows a few minutes of Munroe's son addressing the church during that service before blacking out to a voice-only recording.

"I was gonna prepare a speech, but as I was getting ready this morning I just knew that I was coming to talk to family," Myles said, struggling with tears. "I figured I would just speak to family. It's been the hardest week for my sister and I and my family, and everyone else that has been affected; and it's because of family why we are able to stand here today," he continued.

"My dad always spoke about his belief in people, nothing else mattered but the people, regardless of how long he spoke or he travelled, he always made time for people. That's just the kind of person that he was. And we sometimes take that for granted just because people are here every day and you just don't think certain people won't be here tomorrow," he added, while urging the congregants not to take each other for granted.

Wednesday, November 12, 2014

JIANDAE KURUDI NYUMBANI Sehemu ya Kwanza na Mwalimu Samwel Mkumbo


Karibu katika mafundisho haya yanayoletwa kwenu na Mwalimu Samwel Mkumbo

Mwalimu Samwel Mkumbo
Utangulizi:
 
Maana hapa hatuna mji udumuo, bali twautafuta ule ujao. (Waebrania 13:14)

Mtu huweza kutoka asubuhi kwenda katika shughuli mbalimbali wengine huenda mashambani wengine maofisini na wengine kwenye shughuli za aina nyingine, biashara lakini ifikapo jioni au usiku HURUDI NYUMBANI, inawezekana kama ni watoto au ni wazazi waliachana asubuhi wengine wakienda kazini wengine shuleni lakini jioni WATARUDI NYUMBANI.

Mtu anapotoka mji mmoja na kwenda mji mwingine kwa ajili ya kuishi huko aidha kwa sababu za kikazi au hata biashara, akafanikiwa na akaanzisha maisha huko akawa na familia huko na akajenga na makazi yake huko, lakini siku akifariki mara nyingi wengi HURUDISHWA kuzikwa NYUMBANI.

Katika kitabu hiki ambacho kitakusaidia kukueleza mambo kadhaa juu ya wokovu ulioupokea katika maisha yako, utajifunza mambo mengi na ni maombi yetu ya kwamba kitabu hiki kiwe msaada mkubwa sana kwako.

Mambo utakayojifunza:

Sura ya Kwanza: katika sura ya kwanza utajifunza namna ambavyo dunia hii si mahali pa kupategemea na ya kwamba si mahali pa kudumu, na pia utajua kama dunia si mahali pa kupategemea je hatma yako ni nini, na ni nini mwisho wa maisha yako.

Sura ya Pili: itakusaidia kujua ni nini unachotakiwa kufanya kama dunia si mahali pa kudumu ili uweze kufika unakotakiwa kwenda, utajifunza kuwa unahitaji sana maandalizi ya kuelekea mahali unapotakiwa kwenda.

Sura ya Tatu: mambo ya msingi ikiwa ni mwendelezo wa sura ya pili ni kujua ya kwamba unakokwenda hutakiwi kwenda mikono mitupu, kuna mambo unayotakiwa kuyabeba, hivyo kwanza utajikuta kuna maswali unatakiwa kuyajibu ya ulichobeba kwanza na kisha utajua ni nini unatakiwa kubeba.

Sura ya Nne: sura hii itakuelekeza mambo ambayo ni muhimu uyafahamu katika safari hii, mambo yatakayotokea njiani, mambo ambayo yanapotokea usishangae, lakini pia utapata tumaini kwa kujua ya kwamba hauko peke yako.

Nimalizie utangulizi huu kwa kusema JIANDAE KURUDI NYUMBANI.

Sura ya kwanza.

DUNIANI SIO KWETU

Nataka niweke wazo hili kwanza kwako wakati unaendelea kusoma sehemu hii, ni kwamba DUNIANI SIYO KWETU, ndio! Namaanisha hata wewe hapo ulipo, Duniani siyo Kwako, haijalishi umeweka nini duniani, au unaipendaje dunia, au dunia inakupendaje. Si kitu unawapendaje watu wa dunia na vitu vya dunia lakini nataka ujue, na siyo utani kabisa kwamba hapa DUNIANI SIYO KWETU.

Waebrania 13:13-14 imeandikwa hivi;

13 Basi na tutoke tumwendee nje ya kambi, tukichukua shutumu lake. 14 Maana hapa hatuna mji udumuo, bali twautafuta ule ujao.

Monday, November 10, 2014

Dr. Myles Munroe, wife Ruth, among 9 killed in Bahamas plane crash


Dr Myles Munroe
This morning I received a sad message from a friend that our Life Coach and Role Model, Dr. Myles Munroe, the leader of Bahamas Faith Ministries, was killed Sunday when the plane he was in hit a construction crane, exploded and crashed in the Bahamas.

Munroe's wife, Ruth, was also among the 9 victims of the crash in Grand Bahama, according to the Bahamas Tribune.

Group picture takes before departure
The small plane  crashed after hitting the crane in a shipyard on approach to the Grand Bahama International Airport, according to officials there.
In addition to founding BFMI, the internationally known Munroe was also president of Myles Munroe International (MMI).  The BFMI website describes Munroe was a "lecturer, teacher, life coach, government consultant, and leadership mentor."



Dr Myles Munroe and his Wife Ruth
The plane crashed as people were gathering in Grand Bahama for the Global Leadership Forum -- an event organized by Munroe.
Last month Dr Myles Munroe visited Tanzania, where he spoke to Student Leaders, Business Leaders, Religious Leaders, politicians and Government Officials.
Rejoice and Rejoice blog, were are so touched with his death but as it is in written in Romans 8:28 "And we know that all things work together for good to those who love God, to those who are the called according to His purpose."

Friday, November 7, 2014

Exciting Business Opportunity from America now in Tanzania

Its is my pleasure to Welcome you all to an exciting Business Opportunity from America to our country Tanzania.

Trevo opens its next international location in Dar es Salaam, Tanzania ,Trevo President & CEO Mark Steven with Country Directors Mike Ajao and David Kagoro will be there to celebrate the upcoming opening date for new center.

Through this business people will get  financial and time freedom

If you have any question please dont hesitate to call the below Numbers