Thursday, October 31, 2013

Evangelist Paulex Lebon Edkann kuzindua DVD ya Album inayokwenda kwa jina la Imani


Ev. Paulex Lebon Edkann 
 
Mwinjilisti na Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Paulex Lebon Edkann  anategemea kuzindua DVD ya albamu iitwayo Imani siku ya Jumapili Tarehe 3/ 11/ 2013.
Uzinduzi huo unategemea kufanyika katika Kanisa la Breakthrough Boko kwa Mchungaji Simtovu lililopo eneo la Boko Magengeni 

Video hiyo imerekodiwa na Happy Times Movies

 


Hii ndio Albamu itakayozinduliwa


Akiongea na Rejoice and Rejoice mwimbaji huyo wa Nyimbo za Injili amesema watu wategemee kukutana na Nguvu za Mungu, maana watamwabudu Mungu katika Roho na Kweli.


Wote Mnakaribishwa


Kwa mawasiliano Zaidi piga namba hii 0768209020

Wednesday, October 30, 2013

Martin and Eugenia Wedding

It started from here..



Eugenia Kparty












 




Sendoff Party























 

Tuesday, October 29, 2013

Mkesha Mkubwa wa Vijana wa aina yake katika Kulitafuta Kusudi

 


Haya tena wapendwa wakati ndio huu tuliokuwa tunausubiria kutakuwa na Mkesha Mkubwa sana wa Vijana.

 Tofauti na tulivyozoea Mkesha huu utakuwa na vitu vya tofauti maana vijana wataweza kujfunza masomo mbalimbali ya kuwawezesha kulitambua Kusudi lao waliloitiwa na Mungu hapa Duniani.

 
Katika Mkesha huu The Doxas Kutoka Word Alive watatuongoza katika Kusifu na Kuabudu Mungu wetu.

 

Wapi: St Columbus -Palm Beach Upanga

 

Lini: 08/ 11/ 2013  Saa 3:00 Usiku hadi 12:00 Asubuhi

 


Kiingilio: BURE

 

Watoa Mada (Speakers):

 •Luphurise Lema- Mawere  --Marriage, Are You Ready

 

•Geofrey Thobias       --Kutambua Kusudi Lako

 

•Godwin Gondwe    --Challenge of New Technology

 

•James Mwang`amba  --Catch Your Dream

 

Kutakuwa na Waburudishaji Mbalimbali kama MC Pilipili, Clown Chavala,Conrad & Clay, God`s Generation

 


WOTE MNAKARIBISHWA HATA KAMA SIO VIJANA

Thursday, October 24, 2013

Ugandan Gospel Singer Mac Elvis went to be with the Lord



Youthful Ugandan gospel singer Mark Elvis Mutalya a.k.a. Mac Elvis is dead.
 
He is said to have drowned in a swimming pool this morning in Tanzania where he and a number of other Ugandan artists were involved in school and church tours. Elvis was aged 26.
A Watoto Child Care beneficiary, Elvis was taken in after losing his parents at the age of 6. He managed to complete his high school exams after which he embarked on pursuing his music career. Elvis attributed the messages in his songs to the hope that he found in God and His people despite personal suffering.
Elvis was a born again Christian who put in his bid for royalty as an urban gospel prince with his 2011 release, “Church Boy”, an album full of mid-tempo jams and occasional club rockers
 
Source :Radiocity and other Ugandan websites

Wednesday, October 23, 2013

Uchumba hadi Ndoa: Hakikisha Mwenzi wako anajali Malengo na Ndoto zako


 

Karibu katika somo hili la Uchumba hadi ndoa, kama wewe ni mgeni katika masomo haya karibu sana naomba upitie katika mtiririko wa masomo ya nyuma utajifunza mambo mengi ya muhimu.

Leo naleta kwenu somo hili muhimu la umuhimu wa kuhakikisha mwenzi wako anajali malengo na ndoto zako.

Kabla hujaoa au hujaolewa ulikuwa na malengo na ndoto zako za maisha kwamba unaona kabisa Mungu amekuita uwe labda Mchungaji, Mmishionari, Mwinjilisti,Mfanyabiashara,Mkulima,Mshauri nakadhalika nakadhalika, sasa hayo maono yako ndio huduma yako ambayo umeitiwa na Mungu hapa duniani kwahiyo huna budi kuyafikia. Utauliza mfanyabishara inawezaje kuwa wito, ni wito kabisa maana unatoa huduma kwa jamii kwasababu usipotengeneza unga wa ugali Mungu atakuuliza niliweka maono hayo ndani yako watu wamekufa na njaa kwasababu hukufanya sehemu yako.

Au jamii ikakosa nguo za kujisitiri hautajisikia vizuri kwasababu unajua kabisa hapa nilipaswa nihudumie jamii kwa huduma ya kuuza nguo.

Kila shughuli Halali ambayo Mwanadamu anaifanya inakuwa na Baraka za Mungu maana hata tukiangalia katika Biblia watu walikuwa na Shughuli mbalimbali tumchukue Petro Yesu alimkuta katika shughuli zake za Uvuvi wa Samaki ndipo akamwambia amfuate atamfanya mvuvi wa watu.

Pia kama mtu umeitwa kuwa Mchungaji, Nabii, Mtume au Mshauri usipofanya ujue kuna watu wakifa bado hawajampokea Kristo utakwenda kuulizwa kwanini kuhumuhubiria, au mtu akakata tamaa akajiua utaulizwa kwanini hukumtia moyo wewe mshauri.

Kwahiyo Malengo na Ndoto zako ambazo unazo ziheshimu sana sanaa kwasababu sio mtu au mkuu wa ukoo wenu, bibi, babu yako ameweka ndani ya ni Mungu amekubariki nazo, kwasababu hiyo angependa kuona zinatimia bila kutoa sababu yoyote, anakudai.

Unapokuwa umepata mwezi wa maisha mshirikishe ndoto zako ili ajue yuko na mtu wa aina gani na wewe utapata nafasi ya kujua mawazo yako juu ya hizo ndoto kwamba anazijali au ataziua.

Kuna mpendwa alimshirikisha mwezi wake ndoto zake wakiwa tu katika hatua ya uchumba akamwambia nina ndoto ya kuwa kitu fulani kwahiyo inanilazimu nikasomee Shahada ya Uzamili, yaani yule mwezi alikuja juu akasema mimi sitaki kabisa mke mwenye kusoma soma na kufanya shughuli shughuli nataka akae nyumbani aangalie watoto na nyumba yaani ikawa kasheshe kweli. Sijui waliishia wapi ila yule dada yeye alikuwa na ndoto na huyu mwezi hakuijali kwasababu yeye alikuwa na matakwa yake, labda yule dada yeye angekuwa na ndoto ya kutofanya chochote nafikiri isingekuwa tatizo lakini alikuwa na ndoto.

Tuesday, October 22, 2013

Utawala wa Fedha na Mchungaji Jeremiah –TAG Makoka


Hili Somo limenibariki sana naomba na Mungu aseme na wewe unaposoma Somo hili muhimu


Specimen
 

Luka 16: 1-13 “Akawaambia wanafunzi wake, “Palikuwa na tajiri mmoja na meneja wake. Ilisemekana kwamba huyo meneja alikuwa anatumia vibaya mali ya tajiri yake. 2 Basi huyo tajiri akamwita meneja wake akamwuliza, ‘Ni mambo gani haya ninayosikia kukuhusu? Nitay arishie hesabu ya mapato na matumizi ya mali yangu kwa maana hutaendelea kuwa meneja tena.’

 

3 “Yule meneja akawaza moyoni mwake, ‘Nitafanya nini sasa? Bwana wangu anataka kuniondoa katika kazi yangu. Sina nguvu za kulima, na ninaona aibu kuombaomba! 4 Najua nitakalofanya ili nikipoteza kazi yangu hapa, watu wanikaribishe nyumbani kwao.’

 

5 “Kwa hiyo akawaita wadeni wote wa tajiri wake, mmoja mmoja. Akamwuliza wa kwanza, ‘Deni lako kwa bwana wangu ni kiasi gani?’ 6 Akajibu, ‘Galoni mia nane za mafuta ya alizeti.’ Meneja akamwambia, ‘Chukua hati hii ya deni lako, ibadilishe upesi, uan dike mia nne.’ 7 Kisha akamwuliza wa pili, ‘Na wewe deni lako ni kiasi gani?’ Akajibu, ‘Vipimo elfu moja vya ngano.’ Yule meneja akamwambia, ‘ Chukua hati yako, uandike mia nane.’

 

8 “Yule tajiri akamsifu yule meneja mjanja kwa jinsi alivy otumia busara. Kwa maana watu wanaojishughulisha na mambo ya dunia hii hutumia busara zaidi kuliko watu wa nuru kukamilisha mambo yao. 9 Nami nawaambieni, tumieni mali ya dunia hii kujipa tia marafiki, ili itakapokwisha mkaribishwe katika makao ya milele.

 

10 “Mtu ambaye ni mwaminifu katika mambo madogo, atakuwa mwaminifu hata katika mambo makubwa; na mtu ambaye si mwaminifu katika mambo madogo hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa. 11 Na ikiwa hamkuwa waaminifu katika kutunza mali ya dunia hii, ni nani atakayewaamini awakabidhi mali ya kweli? 12 Na kama ham kuwa waaminifu na mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa mali yenu wenyewe? 13 Hakuna mtumishi awezaye kuwatumikia mabwana wawili. Ama atamchukia mmoja na kumpenda mwingine; au atamheshimu mmoja na kumdharau mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu pamoja na mali.”

Katika mstari hapo juu Bwana Yesu anazungumza na wanafunzi wake kama alivyokwisha kuzungumza na Petro katika Mathayo 16:13 -18 “13 Basi Yesu alipofika katika wilaya ya Kaisaria Filipi, aliwauliza wanafunzi wake, “Watu husema mimi Mwana wa Adamu kuwa ni nani?” 14 Wakamjibu, “Baadhi husema ni Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya; na wengine husema kwamba ni Yeremia au mmo jawapo wa manabii.” 15 Akawauliza, “Na ninyi je, mnasema mimi ni nani? 16 Simoni Petro akamjibu, “Wewe ndiye Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.”

17 Na Yesu akamwambia, “Umebarikiwa, Simoni mwana wa Yona, kwa maana si mwanadamu aliyekufunulia hili, bali ni Baba yangu aliye mbinguni. 18 “Nami nakuambia, wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu ambalo hata nguvu za kuzimu haziwezi kulishinda. 19 Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni na lo lo te utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni na lo lote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.”

Bwana Yesu anataka kujenga Kanisa lake na milango ya Kuzimu haitalishinda.

Kanisa ni mtu anayemwamini Kiristo yaani mimi na wewe.

Kuweza kushinda milango ya kuzimu lazima Mkiristo aweze pia  kuwa na Utawala wa fedha, kama ilovyoandikwa katika mstari wa Luka 16:1-13 hapo juu.

Tajiri amesikia kwamba wakili anatapanya mali, akamwambia wakili atoe hesabu na atamnyang`nya uwakili.

Wakili dhalimu akakumbuka kwamba Bwana wake amekopesha watu kwa riba ambacho ni kinyume na Torati, akawaita akawapunguzia madeni yao ili aweke urafiki nao maana ameona kwamba kazi yake ya uwakili inaondoka.

Bwana anategemea amtumie Mwamini alihudumie kanisa kwa utawala wa fesha kama vile kutoa Zaka na sadaka nyingine.

Vitu muhimu vya kujifunza katika Neno hili:

Thursday, October 17, 2013

Book of the Month:The Purpose Driven Life by Rick Warren


 

The Purpose Driven Life Book is writtern by Evangelical pastor Richard Duane "Rick" Warren was born in San Jose, California on January 28, 1954 and grew up in Ukiah, California. He received his Bachelor of Arts degree from California Baptist University, a Master of Divinity degree in 1979 from Southwestern Baptist Theological Seminary, and his Doctor of Ministry degree from Fuller Theological Seminary.

Warren worked at the Texas Ranch for Christ before founding the megachurch Saddleback Church in Lake Forest, California in 1980. He has written or co-written several Christian books, including the bestselling guide to church ministry and evangelism, The Purpose Driven Church, and The Purpose Driven Life. Warren has lectured as a theologian at many noted universities and seminaries and was chosen in 2008 by President-elect Obama to give the invocation at his inauguration ceremony.



1. It All Starts With God

· The search for the purpose of life has puzzled people because we typically begin at the wrong starting point (ourselves)
· “it is God who directs the lives of his creatures; everyone’s life is in his power”
· Life is about letting God use you for his purposes, not you using him for your own purpose.
· Becoming what God created you to be by focusing on what matters most
· There are two ways to discover the purpose you were created for
Speculation (Guessing, Philosophy, ….)
Revelation (Just ask him)
· There are 3 insights into your purpose
1. Discover your identity & purpose through a relationship with God
2. You may choose your career, spouse, hobbies, but you don’t get to choose your purpose
3. The purpose of your life fits into a much larger cosmic purpose designed for eternity

2. You Are Not An Accident

· God left no detail for your life to chance. He planned it all for his purpose. Nothing in your life is arbitrary. It is all for a purpose
· God’s motive for creating you was his love
· God loves you and values you
· God didn’t need to create you. He wasn’t lonely. But he wanted to make you in order to express his love

3. What Drives Your Life?

· There are hundreds of circumstances, values and emotions that can drive your life. The five most common ones are: Guilt, Resentment & Anger, Fear, Materialism, Need for Approval. There are other forces that can drive your life, but all lead to the same dead end: unused potential, unnecessary stress, and unfulfilled life.
· There are five benefits of living a purpose driven life
It gives a meaning to your life (hope)
It simplifies your life (you have a clear purpose, a foundation on which you base your decisions)
It focuses your life (without a clear purpose you will keep changing directions, jobs, relationships, churches or other externals)
It motivates your life (purpose produces passion)
It prepares you for eternity [God wants you to pass the test: (two questions for eternity) 1. did you accept what Jesus did for you? & did you learn to love and trust him? 2. What did you do with your life - All the gifts, Talents, energy, opportunities, relationships & resources God gave you]

Wednesday, October 9, 2013

John and Happy Wedding

Event: Wedding
Venue: Mirado Hall
Color: Royal Blue and Yellow







 
Congratulations Mr & Mrs John Lyimo






The Parents


Maids entering in the wedding Service


Wow




John and Happy entering in the Church, with God everything is possible


The Service




Hallelujah this is the day that the Lord has made


Exited

So shall be in Jesus Name, No Weapon fashioned against you that shall prosper










Mwhaaaaaaaaaa