Friday, September 13, 2013

Hildelly Straight Film inawaletea Uzinduzi wa Movie yao ya Kwanza


 


Hidelly Straight Film inategemea kuzindua Movie yao kwanza inayojulikana kwa Jina la He Hurts Me.

Katika mazungumzo ambayo blog imefanya na Mkurugenzi wa Hildelly Straight Film mwanamama Hilda Ngaja ambaye ameamua kujitosa katika ulimwengu wa Movie na Studio yake mwenyewe. Uzinduzi huo unategemewa kufanyika  Kesho tarehe 14/09/2013, Katika Hotel ya Mbezi Garden iliyoko eneo la Mbezi Makonde.

Uzinduzi huo utaanza kuanzia saa moja usiku hadi saa nne za Usiku.

Ticket zitapatikana mlangoni kwa gharama nafuu kama ifuatavyo:

          Single 40,000 Tsh

          Double 60,000 Tsh

          VIP 100,000 Tsh

          Meza ya watu 10 25,000 Tsh

Ukitaka kubook Meza na maelezo mengine Zaidi piga namba hizi 0784 670746

Wote Mnakaribishwa kumwezesha mwanamama huyu aliyethubutu kuingia katika tasnia hii ya Movie.

 

No comments:

Post a Comment