Thursday, July 4, 2013

MC Lawrence Mwantimwa anakuletea Uzinduzi wa aina yake wa Albamu ya Producer Alfred Kameta ya "Omba Lolote"



Fred Kameta Producer atakayezindua alibamu yake ya Omba Lolote

 
 MC Lawrence Mwantimwa anakuletea Uzinduzi wa ALBAM YA OMBA LOLOTE ILIYOIMBWA NA PRODUCER FRED KAMETA, Uzinduzi huo utaambatana na SIFA NA KUABUDU LIVE Ndani ya Ukumbi wa SINZA CHRISTIAN CENTER Pale SINZA KUMEKUCHA Tarehe 14 July 2013 ,Siku ya Jumapili kuanzia saa nane mchana na Kuendelea.

Uzinduzi huo utapambwa na waimbaji maarufu wa Nyimbo za Injili toka Nchi Tatu tofauti kama vila Pastor Busi toka Afrika ya Kusini, Mellody Ndichu toka Nairobi Kenya na Prince Kalema toka Uganda, Jojo Jose Mzee wa “Wastahili Sifa za Moyo Wangu”,Joseph Nyuki,Tuntufye,David Robert,Stella Swai,Makondeko na Rungu la Yesu kutoka hapa kwetu Tanzania. Double E Sisters na wengine weengi sana watakuwepo….

Melody Kutoka Kenya ataimba
 
Prince Kameta kutoka Uganda atakuwepo
 
Pastor Pius Kutoka Africa ya Kusini ataimba
Joseph Nyuki kama kawaida

 
Kitu cha Pekee katika Tamasha hilo ni Kwamba FRED KAMETA ataimba nyimbo zake zote Live sio kwa Kwa kuimba na CD.

 
 
 
 
 
 
 
 
 
Habari Njema ni kwamba hakutakuwa na KIINGILIO,
 
CDs Zitauzwa kwa shilingi elfu 3 TU.
 
Mnakaribishwa Wote tumsifu na Kumwinua Bwana kwa pamoja
 

KWA MAWASILIANO PIGA SIMU NUMBER 0713226808 NA 0767 22 6808
 

No comments:

Post a Comment